HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), inatarajiwa kuwa miongoni mwa vituo vitakavyoshiriki majaribio ya dawa mpya ya selimundu kwa wagonjwa wanaohudumiwa hospitalini hapo.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mafunzo, Utafiti na Ushauri wa Kitaalam, Dk. Robert Moshiro, alisema majaribio hayo yatawahusisha baadhi ya wagonjwa wa selimundu, ili kubaini ufanisi wa dawa hiyo mpya.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED