Jumapili Mei 18, 2025
  • The Guardian |
  • Nipashe |
  • Nipashe Jumapili
ePaper
icon user
Ingia
  • ad
  • home-icon
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Burudani
  • Makala
  • Safu
    • Muungwana Lazima Nilonge
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • ePaper
  • icon user Ingia
Clear X

Habari

  • Kimataifa
  • Kitaifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Burudani

Makala

Safu

  • Muungwana Lazima Nilonge

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili
ad
logo
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Burudani
  • Makala
  • Safu
    • Muungwana Lazima Nilonge
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili

Picha

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania Plc, Vivienne Penessis, akimkabidhi zawadi Bless Alexander, mhitimu wa programu ya Code Like A Girl, inayowezesha wasichana katika masomo ya STEM, ikifadhiliwa na Vodacom Tanzania na dLab. Hafla ilifanyika
Kimataifa

Wasichana Wawezeshwa Kupitia Programu ya Code Like A Girl

12 Mar 2025
Wakazi wa kijiji cha Loiborsoit A, wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wakipandisha mizinga kwenye miti kwa ajili ya ufugaji nyuki iliyotolewa kwa vikundi viwili vya wana-wake kwa ajili ya uzalishaji asali juzi.
Kimataifa

Vikundi vya wanawake Loiborsoit A vaanza ufugaji nyuki

03 Mar 2025
Wakazi wa jijini Dar es Salaam wakiendelea na shughuli za kibiashara katika mtaa wa Msimbazi eneo la Kariakoo, ambapo kwa sasa biashara hufanyika usiku na mchana.
Kimataifa

Biashara Kariakoo, Usiku na Mchana

03 Mar 2025
Umoja wa Wanawake wa CCM Wilaya ya Mbeya, wakiongozwa na Mbunge wa Viti Maalumu, Maryprisca Mahundi, walifanya maandamano ya amani Mbalizi kuelekea Hospitali ya Ifisi kuwaona wagonjwa kama sehemu ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
Kimataifa

Mahundi aongoza UWT Mbeya, maadhimisho Siku ya Wanawake Duniani

03 Mar 2025
Katibu Tawala wa mkoa wa Kaskazini A, Mariam Khamis, (katikati) akikata utepe kuzindua rasmi duka la huduma kwa wateja  la Vodacom huko Zanzibar Nungwi. Uzinduzi huu ni hatua muhimu kwa jamii, kwani duka hilo litatoa huduma bora za mawasiliano na bidhaa.
Kimataifa

Vodacom yawasogelea wakazi Nungwi, Zanzibar

03 Mar 2025
Naamini Yonazi, mtaalamu wa mifumo ya kompyuta wa Vodacom Tanzania PLC, akizungumza na wasichana wa mafunzo ya ‘Code Like a Girl’ jijini Dar es Salaam, yanayofadhiliwa na Vodacom kupitia dLab ili kuwawezesha kujifunza na kukuza ujuzi wa kidijitali.
Kitaifa

Vodacom yawezesha wasichana kupitia ‘Code Like a Girl’

14 Feb 2025

Picha Zaidi

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, akihutubia katika mkutano wa hadhara wakati wa kumkaribisha, mjini Bunda, juzi.
Kitaifa

Wasira mkutanoni Bunda

31 Jan 2025
Koplo Alfred Mtawali wa Kituo cha Polisi Kati Arusha, akitoa elimu ya matumizi ya  tiketi mtandao kwa abiria ndani ya basi, katika kituo cha mabasi ya mikoani, jijini humo, juzi.
Kitaifa

Elimu ya matumizi ya tiketi mtandao kwa abiria

31 Jan 2025
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akiwasili Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo kuungana na jopo la mawakili wa Dk. Wilbroad Slaa, anayeshtakiwa kwa kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni.
Kitaifa

Lissu aongezeka jopo la mawakili kumtetea Dk. Slaa

30 Jan 2025
Msimamizi wa mauzo wa Vodacom Tanzania Plc, Neema Lucas, akiweka mafuta bure kwenye bajaji ya mteja John John jijini Dar es Salaam, ikiwa ni hitimisho la kampeni yao ya sikukuu ya kurudisha tabasamu kwa wateja.
Kitaifa

Kampeni ya ‘Shangwe Popote Ukiwa na M-Pesa’ yatamatika

29 Jan 2025
Naibu Mkurungemzi Mkuu wa The Guardian Ltd, Jackson Paul (kulia),akimkaribisha Balozi wa India Nchini Tanzania, Bishwadp Dey katika ofisi za TGL zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam mgeni huyo alifanya ziara ya kuifahamu kampuni hiyo na kujifunza.
Kitaifa

Balozi wa India Bishwadp Dey, ziarani Ofisi za The Guardian LTD

23 Jan 2025
Mwanasheria Mkuu wa serikali Hamza Johari (kulia) akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu) Mary Maganga (wakwanza kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Abdul-Razaq Badru (wapili kushoto).
Kitaifa

Mwanasheria Mkuu wa Serikali akutana na Viongozi wa PSSSF Bungeni

21 Jan 2025
Wachuuzi wa samaki wakipanga bidhaa yao katika eneo la Kitunda jijini Dar es Salaam jana huku samaki mmoja akiuzwa kwa Sh. 10,000.
Kitaifa

Samaki wauzwa kwa Sh. 10,000 Kitunda, Dar es Salaam

19 Jan 2025
Mafundi wa kampuni ya ujenzi ya Sinohydro, wakiendelea na ujenzi wa barabara ya Nyerere eneo la Darajani Chang’ombe Dar es Salaam jana.
Kitaifa

Mafundi wa kampuni Sinohydro kazini

19 Jan 2025
Meneja Biashara wa Vodacom Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Magreth Mambai, amemzawadia Baraka Ramson mafuta ya bure jijini Mbeya kwenye kampeni ya sikukuu ya "Shangwe Popote Ukiwa na M-Pesa!" inayolenga kurudisha tabasamu kwa wateja.
Kitaifa

Vodacom yatoa mafuta ya bure kwa wateja Mbeya

13 Jan 2025
Naibu Meneja Mkuu wa The Guardian Ltd, Jackson Paul akimkaribisha Balozi wa China nchini, Chen Mingjian, kutembelea kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana.
Kitaifa

Balozi Chen atembelea TGL asifu uandishi bora, kuimarisha uhusiano

08 Jan 2025
Afisa bima wa VodaBima, Hellen Masali, akiweka mafuta bure kwenye gari ya mteja Zacharia Regan jijini Mwanza, katika kampeni ya sikukuu ya Vodacom Tanzania PLC, ‘Ni Balaa! Kila Mtu ni Mshindi,’ yenye lengo la kurejesha tabasamu kwa wateja.
Kitaifa

Vodacom yarejesha tabasamu kwa wateja sikukuu za mwisho wa mwaka

07 Jan 2025
Mwakilishi wa Jubilee Life Insurance (wapili kushoto) akipokea tuzo ya Consumer Choice Awards 2024 kutoka kwa Mkurugenzi wa Absa, Obedi Laizer. Hafla hiyo, iliyoongozwa na Naibu Waziri Stanslaus Nyongo, ilifanyika Dar es Salaam.
Kitaifa

Jubilee Life Yashinda Tuzo ya Bima Bora ya Maisha Tanzania 2024

03 Dec 2024
Logo

About

About Us
Terms and Conditions
Advertise with Us
Contact Us

FOLLOWS US ON

Habari

  • Kimataifa
  • Kitaifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Burudani

Makala

Safu

  • Muungwana Lazima Nilonge

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Siasa

  • Kitaifa
  • Kimataifa

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili

Our networking

  • ITV -
  • Radio One -
  • East Africa Television -
  • East Africa Radio -
  • CAPITAL TV -
  • CAPITAL RADIO

© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED