Tunahitaji kuona burudani, ufundi lala salama Ligi Kuu
LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajia kurejea tena leo baada ya kusimama kwa muda kupisha mashindano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar, michezo ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika.