Kufunga kwa Wakristo, Waislamu kulete maana halisi katika maisha
WAUMINI wa madhehebu ya Kikristo, leo wanaanza maadhinisho ya majira ya Kwaresma ikiwa ni kumbukumbu ya njia ya mateso aliyoiendea mwokozi wao Yesu Kristo, hadi kufikia hatua ya kukamatwa, kuteswa, kufa na kutundikwa msalabani yapata miaka 2,000 iliyopita.