MBUNGE wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amesema Chama cha Mapinduzi (CCM) na wanachama wake wameshafanya maamuzi ya kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa Urais hivyo wanaopiga kelele wanapaswa kukaa kimya kwa sababu wao sio wanachama wa chama hicho.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED