Waziri Mkuu aongoza wananchi Maadhimisho ya kitaifa ya kupiga vita dawa za kulevya Duniani 2024

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 12:02 PM Jun 30 2024
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo mafupi alipotembelea Banda la Mkemia Mkuu wa Serikali (EGLA) katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani 2024 yaliyofanyika Jijini Mwanza katika Uwanja wa Nyamagana.
Picha: Mpigapicha Wetu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo mafupi alipotembelea Banda la Mkemia Mkuu wa Serikali (EGLA) katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani 2024 yaliyofanyika Jijini Mwanza katika Uwanja wa Nyamagana.

Duniani 2024 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya Siku ya Kitaifa ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani 2024.

Madhimisho hayo yamefanyika katika Uwanja wa Nyamagana Tarehe 30 Juni, 2024 yakiongozwa na kauli Mbiu isemayo: "Wekeza Kwenye Kinga na Tiba Dhidi ya Dawa za Kulevya”