Jumatano Septemba 3, 2025
  • The Guardian |
  • Nipashe |
  • Nipashe Jumapili
ePaper
icon user
Ingia
  • ad
  • home-icon
  • Home
  • Habari
    • Kitaifa
    • Kimataifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Makala
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • ePaper
  • icon user Ingia
Clear X

Habari

  • Kitaifa
  • Kimataifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Makala

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili
ad
logo
  • Home
  • Habari
    • Kitaifa
    • Kimataifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Makala
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili
  1. Nipashe Jumapili
  2. Habari
  3. Kitaifa

Wenye ukoma wawezeshwa mbolea kuongeza uzalishaji mazao

By Vitus Audax , Nipashe Jumapili
Published at 10:32 PM Feb 09 2025
Mwenyekiti wa kwaya hiyo, Richard Masanja.

Zaidi ya watu 10 wenye ukoma katika Kitongoji cha Kanoge, Kata ya Misheni, Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora wamepatiwa msaada wa mbolea kutoka kwa waimbaji wa Kwaya ya Skonge Moravian Gospel.

 Lengo la msaada huo ni kuboresha mazao yao na kuwawezesha kupata kipato kupitia kilimo.

Baada ya kukabidhi mbolea hiyo, wanakwaya hao pia walishiriki katika shughuli za kuweka mbolea kwenye mimea ya wakazi hao, ikiwemo mahindi yaliyokuwa yakikosa rutuba na kupoteza ubora wake.

Mwenyekiti wa kwaya hiyo, Richard Masanja, amesema kuwa safari yao hadi Kanoge ililenga kuwasaidia wakazi wa eneo hilo, ambalo lilianzishwa mwishoni mwa miaka ya 1950 kwa ajili ya kuhifadhi na kusaidia wenye ukoma, ili kuongeza tija katika kilimo chao na kuboresha maisha yao kiuchumi.

Kwa upande wao, wakazi wa kitongoji hicho, Kuzenza Masonga na Eva Nasoro, walitoa shukrani zao kwa wanakwaya hao, wakisema kuwa msaada huo utawasaidia kuongeza mavuno tofauti na awali, kwani mazao yao yalikuwa yakiharibika kutokana na uhaba wa rutuba.

Habari Kuu

MIAKA 28 BILA PRINCESS DIANA: Safari ya maisha kifalme, urithi usiozimika
CUF yazindua kampeni Jijini Mwanza, yatangaza vipaumbele 10 vikuu
Dk. Bashiru: Nguvu ya CCM inatokana na umoja ndani ya chama
Vituo malezi 12, bababora, mamalishe 100 wapatiwa mitungi ya gesi
CCM kuboresha Sekta ya Afya, Miundombinu Tarime Vijijini
NLD yaahidi kukomesha rushwa
Kunje Mwiru kunyonga mafisadi
CCM kufikisha umeme vitongoji vyote vya Rorya
Samia: Tatizo la maji Dodoma kuwa historia
TAKUKURU yaokoa mamilioni ya kodi ya zuio

Trending stories

  • Categories
  • Entire Website
Mguu wa mwanafunzi aliyeng'atwa na nyoka wakati akilima shamba la mwalimu.

Mwanafunzi aliyeng’atwa na nyoka atoka hospitalini

31 Mar 2024
MBUNGE wa Simanjiro (CCM) mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka.

Ole Sendeka anusurika kifo, afunguka alivyokwepa risasi

31 Mar 2024
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda.

Makonda apewa 'kibarua' kwa Mrombo Arusha

09 Apr 2024
 Bharat Nathwani na mke wake Sangita.

Kesi ya wanandoa kujeruhi Dar kusikilizwa Feb 9

18 Jan 2024
Waiamu wakifuturu wakati wa mfungo wa Ramadhani.

Mzee wa kanisa afuturisha Waislamu

31 Mar 2024
Mguu wa mwanafunzi aliyeng'atwa na nyoka wakati akilima shamba la mwalimu.

Mwanafunzi aliyeng’atwa na nyoka atoka hospitalini

31 Mar 2024
MBUNGE wa Simanjiro (CCM) mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka.

Ole Sendeka anusurika kifo, afunguka alivyokwepa risasi

31 Mar 2024
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda.

Makonda apewa 'kibarua' kwa Mrombo Arusha

09 Apr 2024
 Bharat Nathwani na mke wake Sangita.

Kesi ya wanandoa kujeruhi Dar kusikilizwa Feb 9

18 Jan 2024

Habari zinazohusiana

Mradi wa TACTIC kujenga barabara za lami Km 17 Manispaa ya Geita

Mradi wa TACTIC kujenga barabara za lami Km 17 Manispaa ya Geita

1d ago
Timu ya Tanzania ya Wanawake kutoka kituo cha Future Stars Academy cha jijini Arusha

Tanzania ya pili michuano vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu

2d ago
Mgombea urais CCM, Samia Suluhu Hassan

Samia: Tatizo la maji Dodoma kuwa historia

3d ago
Emmanuel Nchimbi

CCM kufikisha umeme vitongoji vyote vya Rorya

3d ago
Kunje Ngombale Mwiru

Kunje Mwiru kunyonga mafisadi

3d ago
NLD yaahidi kukomesha rushwa

NLD yaahidi kukomesha rushwa

3d ago
Dk. Emmanuel Nchimbi

CCM kuboresha Sekta ya Afya, Miundombinu Tarime Vijijini

3d ago
Askofu wa Kanisa la Ufunuo (The Revelation Church Tanzania), Yaspi Bendera

Vituo malezi 12, bababora, mamalishe 100 wapatiwa mitungi ya gesi

3d ago
Katibu Mkuu wa zamani CCM, Dk. Bashiru Ally.

Dk. Bashiru: Nguvu ya CCM inatokana na umoja ndani ya chama

3d ago

Picha

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, jijini Dodoma jana.
Kitaifa

Mkutano Mkuu Maalum wa CCM katika picha

19 Jan 2025
Meneja wa Rapt Camera, Madhu Nair ( wa pili kulia), akitoa maelezo kuhusu vifaa anavyouza vya umeme ikimo machine za kuchaka juice, katika Maonyesho ya 48 ya Biashara  ya Kimataifa Dar as Salaam ( DITF), viwanja vya Mwalimu Nyerere, barabara ya Kilwa jana
Kitaifa

Mashine ya kuchakata sharubati

07 Jul 2024
Askofu Mkuu Isaack Aman wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha akiongoza ibada yakuuagwa kwa miili tisa,nane ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Ghati Memorial na mmoja wa muokoaji akitoa baraka katika miili hiyo kwa ajili ya maziko.
Kitaifa

Matukio tofauti miili tisa ya wanafunzi wa Shule ya Ghati Memorial ikiagwa Arusha

14 Apr 2024

Video

Kiongozi wa Zamani wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.
Kitaifa

Zitto : CCM itolewe Ikulu, ifungiwe Makumbusho kwa heshima

06 Jul 2025
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara John Heche
Kitaifa

CHADEMA ikishika dola, hakuna kijana atakaye betting, mtakuwa kwenye viwanda

30 Mar 2025
Wasira ammwagiwa sifa kedekede.
Kitaifa

Makamba ammwagia sifa kedekede Wasira

19 Jan 2025
Logo

About

About Us
Terms and Conditions
Advertise with Us
Contact Us

FOLLOWS US ON

Habari

  • Kitaifa
  • Kimataifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Makala

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Siasa

  • Kitaifa
  • Kimataifa

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili

Our networking

  • ITV -
  • Radio One -
  • East Africa Television -
  • East Africa Radio -
  • CAPITAL TV -
  • CAPITAL RADIO

© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED