Dk. Nchimbi atua Katavi kuhutubia wakazi Maji Moto

By Gwamaka Alipipi , Nipashe
Published at 01:34 PM Sep 09 2025
Dk. Nchimbi atua Katavi kuhutubia wakazi Maji Moto
Picha: Mpigapicha Wetu
Dk. Nchimbi atua Katavi kuhutubia wakazi Maji Moto

Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi akiwasili kwenye Uwanja wa Majengo, Jimbo la Sumbawanga Mjini kwa ajili ya kuwahutubia wananchi kwenye mkutano wake wa kampeni leo Septemba 9, 2025 mkoani Rukwa.

Baadaye Dk. Nchimbi ataelekea wilayani Mpimbwe mmoani Katavi ambapo atafanya mkutano mwingine katika eneo la Maji Moto.

Dk. Nchimbi atua Katavi kuhutubia wakazi Maji Moto.