Dk Samia: Nitasambaza umeme Tanzania yote

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 02:04 PM Sep 09 2025
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan.

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania kuwa nishati ya umeme itasambazwa katika maeneo yote ili wananchi kupata huduma hiyo kwa uhakika zaidi.