Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan.
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa hakikisho la kuendelea kutoa ruzuku za pembejeo na mbolea kwa mazao yote ikiwemo tumbaku ambalo ndilo zao kuu mkoani Tabora.