Dk. Samia:Mwendo utakuwa uleule kuboresha huduma za jamii, kukidhi mahitaji

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 08:10 PM Sep 11 2025
Dk. Samia:Mwendo utakuwa uleule kuboresha huduma za jamii, kukidhi mahitaji.

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali atakayoiunda itaendelea kuboresha sekta za maendeleo ya kijamii zikiwemo za elimu,umeme,maji na afya ili kukidhi mahitaji ya wananchi wanaongoza kila kukicha wanaongezeka katika maeneo mbalimbali.