Makanisa sita ya Ufufuo na Uzima yamefungwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya ikiwa ni siku chache baada ya Makao makuu ya Kanisa hilo kufungwa na Ofisi ya Msajili wa Asasi za Kiraia nchini kwa madai ya kukiuka taratibu.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED