Muasisi wa CHAUMMA atua CHADEMA

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 04:58 PM Jun 04 2025
Aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHUAMMA), Eugene Kabendera.
Picha:Mtandao
Aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHUAMMA), Eugene Kabendera.

Aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHUAMMA), Eugene Kabendera leo Jumatano, Juni 4, 2025 ametangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Kabendera ametambulishwa mbele ya waandishi wa habari na Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Aman Golugwa, makao makuu ya chama hicho, Mikocheni jijini Dar es Salaam.

taarifa kwa umma 2_page-0001.jpg 792.86 KB