Baraza la Wazazi la Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga limeishauri serikali kutoa mwongozo wa namna bora ya matangazo ya biashara za nguo za ndani za wanawake kwa kutumia midoli, ambayo imetajwa kuchochea mmonyoko wa maadili katika jamii.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED