Mbeya Tulia Marathon yaanza kutimua vumbi

By Halfani Chusi , Nipashe
Published at 02:53 PM May 09 2025
Mbeya Tulia Marathon yaanza kutimua vumbi
Picha: Mpigapicha Wetu
Mbeya Tulia Marathon yaanza kutimua vumbi

Mashindano ya Riadha ya Betika Mbeya Tulia Marathon 2025 yameanza leo Kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya Mjini ikiwa ni Msimu wa Tisa (9) Mashindano hayo yanafanyika.

Pichani ni baadhi ya Washiriki wa Mashindano hayo ambayo leo yanafanyika kwa mbio za ndani ya uwanja (Mbio Fupi) ambazo ni Mita100, 200, 400, 800, 1500 na Long Jump (Karuka Chini).

Kesho Mashindano haya yataendelea kwa mbio ndefu ambazo ni kilomita 42, 21, 10 na 5.