Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan amesema hatua ya Serikali yake kuboresha huduma za afya nchini, imemshangaza Dk Steve Meyer aliyewafadhili matibabu na masomo majeruhi wa ajali ya Shule ya Lucky Vicent.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED