Jumatatu Mei 12, 2025
  • The Guardian |
  • Nipashe |
  • Nipashe Jumapili
ePaper
icon user
Ingia
  • ad
  • home-icon
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Burudani
  • Makala
  • Safu
    • Muungwana Lazima Nilonge
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • ePaper
  • icon user Ingia
Clear X

Habari

  • Kimataifa
  • Kitaifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Burudani

Makala

Safu

  • Muungwana Lazima Nilonge

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili
ad
logo
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Burudani
  • Makala
  • Safu
    • Muungwana Lazima Nilonge
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili
  1. Nipashe
  2. Habari
  3. Kitaifa

Dk. Tulia azindua mradi wa kuunganisha umeme vitongoji 105 Mbeya

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 10:50 AM May 11 2025
Created by Codegena.
Dk. Tulia azindua mradi wa kuunganisha umeme vitongoji 105 Mbeya

Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekabidhiwa rasmi jukumu la kutekeleza mradi wa kuunganisha umeme katika vitongoji 105 vya Mkoa wa Mbeya.

 Mradi huo una thamani ya shilingi bilioni 10.9 na unatekelezwa kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ambapo unatarajiwa kunufaisha takribani wateja 3,465.

Makabidhiano rasmi ya mradi huo yalifanyika katika Kata ya Igawilo, jijini Mbeya, mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dk. Tulia Akson.

Habari Kuu

Katibu wa BAWACHA Kilimanjaro aondoka CHADEMA
Mamlaka nchini India yasitisha safari za ndege
India, Pakistan wazidi kutunishiana misuli
Mnyika: Hatutabaki kumlilia Lissu tunaendeleza 'no reforms no election'
Vigogo wengine tena waikimbia CHADEMA
Dk Tulia: Mbeya marathon ni mashindano ya kipekee nchini
Gambo ajinadi kwa mazuri, akitupa kijembe gizani
Dorothy: Serikali ya CCM imeshindwa kusimamia fedha za umma
Mirembe yazindua kampeni 'Afya ya akili ni afya'
Mbunge Vita Kawawa akabidhi vifaatiba vyenye thamani ya Sh milioni 14.9

Trending stories

  • Categories
  • Entire Website
Wanafunzi wakiwa katika chumba cha mtihani.

Tazama hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba (Psle) 2024

01 Nov 2024
John Mongela, Amos Makalla na Lengai Ole Sabaya.

Majina matatu yatawala kiti cha Mwenezi wa CCM

02 Apr 2024
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga

RC azuia uhamisho walimu, awapa maagizo wakurugenzi

19 Mar 2024
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kuwaapisha viongozi aliowateua, Ikulu jijini Dar es Salaam jana.

Samia aanika msimamo wake

14 Mar 2024
Eneo la makaburi ya wahanga wa treni katika mtaa wa Mathius jijini Dodoma.

Makaburi ya waliofariki ajali ya treni yageuzwa maficho ya vibaka

18 Mar 2024
Wanafunzi wakiwa katika chumba cha mtihani.

Tazama hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba (Psle) 2024

01 Nov 2024
John Mongela, Amos Makalla na Lengai Ole Sabaya.

Majina matatu yatawala kiti cha Mwenezi wa CCM

02 Apr 2024
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Pyramids FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Misri, Fiston Mayele.

Mayele : Ninaweza kujiunga Simba SC

06 Apr 2024
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga

RC azuia uhamisho walimu, awapa maagizo wakurugenzi

19 Mar 2024

Habari zinazohusiana

Grace Kiwelu

Katibu wa BAWACHA Kilimanjaro aondoka CHADEMA

13h ago
Dk. Tulia azindua mradi wa kuunganisha umeme vitongoji 105 Mbeya

Dk. Tulia azindua mradi wa kuunganisha umeme vitongoji 105 Mbeya

20h ago
Alama ya hukumu

Mahakama yamuhukumu kifungo cha nje baba aliyeua mwanaye

21h ago
Mwenyekiti wa Kanda ya Victoria, Ezekiel Wenje

Wenje awakataa G55, ashangaa kuhusishwa nao

22h ago
Waziri wa Maji Juma Aweso akikabidhi vifaa vya utafiti wa maji.

Serikali yakabidhi vifaa vya kisasa utafiti wa maji chini ya ardhi

23h ago
Rais wa Urusi, Vladimir Putin

Putin atoa wito wa 'mazungumzo ya moja kwa moja' na Ukraine

1d ago
Mbunge Vita Kawawa akifungua Zahanati ya kijiji cha Luhangano Namtumbo

Mbunge Vita Kawawa akabidhi vifaatiba vyenye thamani ya Sh milioni 14.9

1d ago
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala Mibako Mabunu kulia akimkabidhi maguni 82 ya mahindi kwa ajili ya chakula cha wanafunzi shule za msingi na sekondari kata ya Chela, Mkurugenzi wake Rose Manumba (katikati) leo.

Mwenyekiti atoa mahindi maguni 82 wanafunzi wapate chakula shuleni

1d ago
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu ashiriki dua kuliombea taifa

1d ago

Picha

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania Plc, Vivienne Penessis, akimkabidhi zawadi Bless Alexander, mhitimu wa programu ya Code Like A Girl, inayowezesha wasichana katika masomo ya STEM, ikifadhiliwa na Vodacom Tanzania na dLab. Hafla ilifanyika
Kimataifa

Wasichana Wawezeshwa Kupitia Programu ya Code Like A Girl

12 Mar 2025
Wakazi wa kijiji cha Loiborsoit A, wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wakipandisha mizinga kwenye miti kwa ajili ya ufugaji nyuki iliyotolewa kwa vikundi viwili vya wana-wake kwa ajili ya uzalishaji asali juzi.
Kimataifa

Vikundi vya wanawake Loiborsoit A vaanza ufugaji nyuki

03 Mar 2025
Wakazi wa jijini Dar es Salaam wakiendelea na shughuli za kibiashara katika mtaa wa Msimbazi eneo la Kariakoo, ambapo kwa sasa biashara hufanyika usiku na mchana.
Kimataifa

Biashara Kariakoo, Usiku na Mchana

03 Mar 2025

Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan.
Kitaifa

Rais Samia aongeza mishahara ya Wafanyakazi kwa asilimia 35.1

01 May 2025
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira
Kitaifa

Wasira: Martha anajua serikali haiwezi kuingilia mahakama

25 Apr 2025
TEC yakata Lissu aachiwe,meza ya mazungumzo iwepo
Kitaifa

TEC yakata Lissu aachiwe,meza ya mazungumzo iwepo

21 Apr 2025
Logo

About

About Us
Terms and Conditions
Advertise with Us
Contact Us

FOLLOWS US ON

Habari

  • Kimataifa
  • Kitaifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Burudani

Makala

Safu

  • Muungwana Lazima Nilonge

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Siasa

  • Kitaifa
  • Kimataifa

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili

Our networking

  • ITV -
  • Radio One -
  • East Africa Television -
  • East Africa Radio -
  • CAPITAL TV -
  • CAPITAL RADIO

© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED