Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kufika katika daraja la Somanga Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi kesho ili kuhakikisha mawasiliano yanarejea katika barabara ya kutoka Dar es salaam kuelekea mikoa ya Kusini.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED