MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), imesema itaanza kusajili watoto wachanga kuanzia umri sifuri, kwa kutumia alama za nyayo zao.
Amesema hatua hiyo ni mpango serikali katika kuziunganisha huduma za kijamii na mfumo wa mamlaka hiyo na taasisi za umma hasa kwa mahitaji ya kupata nakala muhimu ikiwamo Pasi ya kusafiria.
Amesema mpango huo malengo yake ni kusajili nchi nzima watoto wa umri huo hadi kwa wenye umri chini ya miaka 18.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED