Samia: Uzee dawa, watangulizi wangu wamekuwa msaada kufikia mafanikio
By
Mwandishi Wetu
,
Nipashe
Published at 07:24 PM Jun 27 2025
Rais Samia Suluhu Hassan
Rais Samia Suluhu Hassan amesema misingi imara iliyowekwa na watangulizi imemuwezesha kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kufikia mafanikio mbalimbali katika ujenzi wa Tanzania.