Hali ya simanzi imetawala nyumbani kwa Dk. Mabula Mahande mkazi wa Uzunguni jijini Mbeya wakati wa kuaga mwili wa mwanaye, Shyrose Mahande (21) ambaye alitekwa na watu wasiojulikana na kuuawa kisha mwili wake kuchomwa moto.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED