Mbunge wa Mbogwe (CCM), Nicodemas Maganga, amewaomba watanzania na viongozi wa dini kuombea uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka huu huku akiwaasa wenzake wasiwe wanyonge wakatafute haki ya Mungu.Akichangia leo makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2025/26 bungeni , Maganga amesema wabunge waombe Mungu katika faulo watakazocheza na kama kuna kiongozi sio mwaminifu wapigakura wamalizane naye huko huko.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED