Mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema serikali itaangalia uwezekano wa kujenga gati au kuchimba sehemu maalum ya bandari katika Kisiwa cha Kojani, ili kurahisisha huduma za usafiri wa boti ya wagonjwa kufanya kazi masaa 24 bila vikwazo.
Dk. Mwinyi alitoa ahadi hiyo alipokuwa akizungumza na wananchi wa kisiwa hicho, mara baada ya kukabidhi boti ya kubeba wagonjwa, iliyotolewa kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwa wakazi wa Kojani na maeneo jirani.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED