Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania kuwa, hakuna atakayeruhusiwa kuthubutu kuvuruga amani siku ya uchaguzi, akisisitiza Serikali imejipanga kukabili vitendo hivyo.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED