Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuhakikisha kunakuwa na kasi ya utekelezaji wa ahadi na Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025/30 ili kazi zote zitimizwe ndani ya muda uliopo na ilivyotarajiwa.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED