Uwaziri Mkuu ni nafasi ya kuwatumikia Watanzania- Dk Samia

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 01:51 PM Nov 14 2025
Uwaziri Mkuu ni nafasi ya kuwatumikia Watanzania- Dk Samia

Rais Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya uwaziri mkuu haihitaji urafiki, undugu na jamaa, badala yake ni nafasi ya kulitumikia Taifa.