'Kiongozi wa dini usiwe sababu ya vurugu'

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 06:31 PM Jul 08 2025
Mlezi wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Nabii Mkuu Dk.Moses Geordavie

Mlezi wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Nabii Mkuu Dk.Moses Geordavie amesema ni muhimu viongozi wa dini kuhubiri amani na wasiwe sababu ya vurugu.