Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan amesema chama chake kinapata ujasiri wa kusimama kuomba kura kwa sababu kimefanikisha maendeleo ya nchi na bado ina uwezo wa kuendelea kufanya hivyo.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED