Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaambia wananchi wa Tabora kuwa atajenga barabara ya mzunguko yenye urefu wa kilomita 82 ili kupunguza msongamano mkoani humo.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED