TAASISI ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeokoa maisha kwa wagonjwa 10 wenye matatizo ya mapigo ya moyo.
Huduma hiyo imetolewa kwenye kambi ya siku tano iliyofanywa na wataalamu wa JKCI, kwa kushirikiana na wenzao kutoka shirika la Madaktari Africa la Marekani.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED