Kada mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ezekia Wenje ametaka kauli ya ‘Oktoba Tunatiki’ iwe jawabu la salamu ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Watanzania kujitokeza Oktoba 29 kumpigia kura mgombea wa CCM,Samia Suluhu Hassan.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED