Mwalimu wa kujitolea katika Shule ya Sekondari Kimara, Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, Bernard Mwakajira, amevutia mjadala mitandaoni baada ya kufanikisha wanafunzi 100 wa kidato cha pili kupata alama A katika somo la hisabati.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED