Sehemu ya kwanza ya makala hii ilieleza simulizi ya kipekee ya Bernard Mwakajila, kijana aliyehitimu kidato cha sita lakini alishindwa kujiunga na chuo cha ualimu kutokana na ukosefu wa ada. Leo hii, jina lake limekuwa gumzo katika shule ya sekondari Kimara, Ubungo – jijini Dar es Salaam, baada ya kufanikisha mafanikio makubwa katika somo la hisabati.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED