RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali itanunua umeme, kwa ajili ya mikoa ya Kaskazini inayokabiliwa na kukatikakatika kwa nishati hiyo.
Akihutubia mamia ya wananchi Machi 9,2025 wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji wa Mwanga, Same na Korogwe utakaohudumia vijiji 38 vyenye watu 300,000 uliogharimu zaidi ya Sh. bilioni 406.
“Natambua ukanda wa Kaskazini umeme ukanatikakatika, serikali iko kwenye hatua za mwisho kusaini mkataba wa kununua umeme uungwe ili wananchi wapate uhakika,” amesema.
© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED