Jumatatu Septemba 1, 2025
  • The Guardian |
  • Nipashe |
  • Nipashe Jumapili
ePaper
icon user
Ingia
  • ad
  • home-icon
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Burudani
  • Makala
  • Safu
    • Muungwana Lazima Nilonge
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • ePaper
  • icon user Ingia
Clear X

Habari

  • Kimataifa
  • Kitaifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Burudani

Makala

Safu

  • Muungwana Lazima Nilonge

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili
ad
logo
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Burudani
  • Makala
  • Safu
    • Muungwana Lazima Nilonge
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili
  1. Nipashe
  2. Habari
  3. Kitaifa

Dk. Samia aahidi Tanzania ya maendeleo bila mikopo

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 01:31 PM Aug 30 2025
Samia Suluhu Hassan.

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan amesema safari ya Watanzania kufanya shughuli za maendeleo bila kutegemea mikopo mikubwa inaanza ndani miaka mitano ijayo.

Dk. Samia ameeleza hayo leo Jumamosi wakati akizungumza na wananchi wa Dakawa wilayani Mvomero katika mwendelezo wa ziara ya kampeni za kusaka kura katika Uchaguzi Mkuu 2025 utakaofanyika Oktoba 29.

Ameto ahadi hiyo, akijrejea maandiko ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inayoeleza kuwa ifikapo mwaka huo, Tanzania itakuwa yenye kipato cha kati cha ngazi ya juu na hakuna Mtanzania atakayelia na huduma za afya na elimu.

“Ifakapo mwaka 2050, Dira ya Taifa ya Maendeleo imeanisha kuwa hakuna atakayekosa huduma ya maji bora wala umeme wa kufanyika shughuli zake. Hii ndio Tanzania tunayoitaka. Tunaitaka Tanzania ambayo uchumi wake utasimama na kujitegemea.

“Tunaitaka Tanzania ambayo tutaishi na tutafanya shughuli zetu bila kuwepo na mikopo mikubwa, hii ndio Tanzania tunayoitaka ifakapo 2050 na safari yake inaanza ndani ya miaka mitano ijayo,”amesema Dk. Samia.

Ili kufanikisha suala hilo, Dkt Samia ambaye ni Rais wa Tanzania amewaomba wananchi wa Morogoro na Watanzania kwa ujumla kuipigia kura kwa wingi kukichagua Chama Cha Mapinduzi.

Habari Kuu

Wastaafu wampigia debe Samia
Wawili wafa kwa mlipuko, mmoja ajeruhiwa nyumba zaharibiwa
Samia abisha hodi Songwe
CCM: Katiba Mpya kupatikana ndani ya miaka mitano ijayo
Vyama 17 vyasimamisha wagombea urais Zanzibar
Mwenge wa Uhuru kukagua miradi ya Sh bilioni 164 Geita
Part 3 : Walimu, wanafunzi wanavyo mzungumzia aliyetengeneza ‘A’ 100 za hisabati sekondari
Part 2: Bernard Mwakajila: Mwalimu asiye na taaluma atengeneza 'A' 100 somo la hisabati sekondari
Part 1: Jinsi mwalimu wa hisabati alivyotengeneza 'A' 100 Sekondari Kimara
Blisspals Tanzania yatoa wito kupambana na upweke kwa wazee

Trending stories

  • Categories
  • Entire Website
Wanafunzi wakiwa katika chumba cha mtihani.

Tazama hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba (Psle) 2024

01 Nov 2024
John Mongela, Amos Makalla na Lengai Ole Sabaya.

Majina matatu yatawala kiti cha Mwenezi wa CCM

02 Apr 2024
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kuwaapisha viongozi aliowateua, Ikulu jijini Dar es Salaam jana.

Samia aanika msimamo wake

14 Mar 2024
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga

RC azuia uhamisho walimu, awapa maagizo wakurugenzi

19 Mar 2024
Eneo la makaburi ya wahanga wa treni katika mtaa wa Mathius jijini Dodoma.

Makaburi ya waliofariki ajali ya treni yageuzwa maficho ya vibaka

18 Mar 2024
Wanafunzi wakiwa katika chumba cha mtihani.

Tazama hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba (Psle) 2024

01 Nov 2024
John Mongela, Amos Makalla na Lengai Ole Sabaya.

Majina matatu yatawala kiti cha Mwenezi wa CCM

02 Apr 2024
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Pyramids FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Misri, Fiston Mayele.

Mayele : Ninaweza kujiunga Simba SC

06 Apr 2024
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kuwaapisha viongozi aliowateua, Ikulu jijini Dar es Salaam jana.

Samia aanika msimamo wake

14 Mar 2024

Habari zinazohusiana

Vyama 17 vyasimamisha wagombea urais Zanzibar.

Vyama 17 vyasimamisha wagombea urais Zanzibar

2h ago
Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Frank Nkinda

Marufuku kumbi za starehe, nyumba za ibada kupiga muziki

2h ago
Katibu wa CCM Mkoa wa Mbeya, Langael Akyoo

Mgombea urais CCM kufanya mikutano minne Mbeya

3h ago
Mgombea urais Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo

NLD kuzingatia kundi wenye ulemavu kwenye kampeni

3h ago
Alexander Isak

Liverpool yavunja rekodi ya usajili Uingereza kwa Alexander Isak

3h ago

Mgombea Mwenza wa Urais wa chama hicho, Dk. Emmanuel Nchimbi.

CCM: Katiba Mpya kupatikana ndani ya miaka mitano ijayo

4h ago
Wananchi wakiwa wamebeba mwili wa kijana aliekutwa amefariki kwenye bwawa.

Asiyefamika akutwa amefariki kwenye bwawa la maji

4h ago
Waziri wa Ujenzi Abdalah Ulega akionyesha tuzo aliyoipokea kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Rais Samia apatiwa tuzo kwa kuthamini wenye uhitaji

6h ago
Part 3 : Walimu, wanafunzi wanavyo mzungumzia mwalimu aliyetengeneza ‘A’100 za hisabati sekondari

Part 3 : Walimu, wanafunzi wanavyo mzungumzia aliyetengeneza ‘A’ 100 za hisabati sekondari

7h ago

Picha

Balozi wa taasisi ya WildAid, Nakaaya Sumari (kulia) akizungumza na waandishi wa habari na wadau wa uhifadhi wa mazingira katika ofisi za TBC 2 jana, kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Daphrosa Kimbori.
Kitaifa

Tuyatunze mazingira kwa faida ya sasa na baadae

25 Jun 2025
Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake, Uzazi na Upasuaji wa Fistula katika Hospitali ya CCBRT Dk. Peter Majinge (kushoto), akikata keki pamoja na mmoja wa akinamama wanaoendelea na matibabu ya fistula hospitalini hapo, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho
Kitaifa

CCBRT yaadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza fistula

23 May 2025
Watembea kwa miguu wakivuka katika eneo lisilo rasmi, badala ya kutumia daraja la juu lililojengwa maalum kwaajili yao katika barabara ya Mandela, eneo la Buguruni,  jijini Dar es Salaam leo, kitendo ambacho ni hatari kwa usalama wao.
Kitaifa

Watembea kwa miguu wahatarisha maisha kwa kuvuka njia isiyo rasmi Buguruni

23 May 2025

Video

Part 3 : Walimu, wanafunzi wanavyo mzungumzia mwalimu aliyetengeneza ‘A’100 za hisabati sekondari
Kitaifa

Part 3 : Walimu, wanafunzi wanavyo mzungumzia aliyetengeneza ‘A’ 100 za hisabati sekondari

7h ago
Part 2: Bernard Mwakajila: Mwalimu asiye na taaluma atengeneza 'A' 100 Somo la Hisabati sekondari.
Kitaifa

Part 2: Bernard Mwakajila: Mwalimu asiye na taaluma atengeneza 'A' 100 somo la hisabati sekondari

8h ago
Part 1: Jinsi mwalimu wa hisabati alivyotengeneza 'A' 100 Sekondari Kimara
Kitaifa

Part 1: Jinsi mwalimu wa hisabati alivyotengeneza 'A' 100 Sekondari Kimara

8h ago
Logo

About

About Us
Terms and Conditions
Advertise with Us
Contact Us

FOLLOWS US ON

Habari

  • Kimataifa
  • Kitaifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Burudani

Makala

Safu

  • Muungwana Lazima Nilonge

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Siasa

  • Kitaifa
  • Kimataifa

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili

Our networking

  • ITV -
  • Radio One -
  • East Africa Television -
  • East Africa Radio -
  • CAPITAL TV -
  • CAPITAL RADIO

© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED