MWANACHAMA wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Sigrada Mligo, ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa Jimbo la Njombe Mjini, kupitia chama hicho.
Washiriki mkutano huoSigrada, ametoa tamko hilo leo, Agosti 11, 2025, alipokutana na wanachama wa CHAUMMA mjini Njombe, pamoja na kikao hicho, chama hicho pia kiligawa kadi kwa wanachama wapya waliojiunga zaidi ya 100.