Jumatatu Oktoba 20, 2025
  • The Guardian |
  • Nipashe |
  • Nipashe Jumapili
ePaper
icon user
Ingia
  • ad
  • home-icon
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Burudani
  • Makala
  • Safu
    • Muungwana Lazima Nilonge
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • ePaper
  • icon user Ingia
Clear X

Habari

  • Kimataifa
  • Kitaifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Burudani

Makala

Safu

  • Muungwana Lazima Nilonge

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili
ad
logo
  • Home
  • Habari
    • Kimataifa
    • Kitaifa
  • Biashara
  • Michezo
    • Soka
  • Burudani
  • Makala
  • Safu
    • Muungwana Lazima Nilonge
  • Maoni
    • Maoni Ya Mhariri
    • Katuni
  • Maktaba
  • Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili
  1. Nipashe
  2. Habari
  3. Kitaifa

Viongozi wa dini Shinyanga wataka wananchi wajitokeze kupiga kura kwa amani

By Mwandishi Wetu , Nipashe
Published at 08:26 PM Oct 18 2025
Viongozi wa dini Shinyanga wataka wananchi wajitokeze kupiga kura kwa amani

Viongozi wa dini mkoani Shinyanga wametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura ifikapo Oktoba 29 mwaka huu, ili kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi bora watakaowaletea maendeleo kuanzia ngazi ya mitaa.

Viongozi hao, kwa umoja wao, wameazimia kuunga mkono jitihada za serikali katika kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi kwa amani, utulivu na umoja wa kitaifa.

TAMKO

Wakizungumza kwa pamoja, viongozi hao wamesisitiza kuwa kila Mtanzania ana wajibu wa kutunza amani, kwani amani ndiyo tunu na msingi wa maendeleo ya taifa.

Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Lazaro Nyalandu, amewaomba viongozi wa dini, machifu na wazee wa kimila kuendelea kuliombea taifa hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi, ili nchi iendelee kuwa na umoja na utulivu.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mheshimiwa Mboni Mhita amewahakikishia wananchi kuwa siku ya kupiga kura itakuwa salama, na akawataka kujitokeza kwa wingi kutekeleza wajibu wao wa kiraia bila hofu.

Habari Kuu

Samia kutua kesho Katavi, Balozi Migiro asafisha njia
Dira 2050 yaundiwa mikakati ya kisheria kuifaikisha
Serikali yatoa magodoro kwa wanaowalea watoto waliotelekezwa mitaani
Doyo awasihi watanzania kudumisha amani kabla na baada ya uchaguzi
Miili ya vijana wanne imeokotwa Kibaha yenye dalili za mauaji
IGP Wambura amzawadia askari aliyoumia kazini bajaji mpya
Viongozi wa dini Mara watoa wito wa kudumisha amani kipindi cha uchaguzi
Nchimbi: Samia ameviimarisha vyombo vya ulinzi na usalama
Dk. Mwinyi: Kudumisha amani ni jukumu la kila mwananchi
Mwanamke ashikiliwa kwa tuhuma za kumuua mume wake Geita

Trending stories

  • Categories
  • Entire Website
Wanafunzi wakiwa katika chumba cha mtihani.

Tazama hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba (Psle) 2024

01 Nov 2024
John Mongela, Amos Makalla na Lengai Ole Sabaya.

Majina matatu yatawala kiti cha Mwenezi wa CCM

02 Apr 2024
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kuwaapisha viongozi aliowateua, Ikulu jijini Dar es Salaam jana.

Samia aanika msimamo wake

14 Mar 2024
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga

RC azuia uhamisho walimu, awapa maagizo wakurugenzi

19 Mar 2024
Eneo la makaburi ya wahanga wa treni katika mtaa wa Mathius jijini Dodoma.

Makaburi ya waliofariki ajali ya treni yageuzwa maficho ya vibaka

18 Mar 2024
Wanafunzi wakiwa katika chumba cha mtihani.

Tazama hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba (Psle) 2024

01 Nov 2024
John Mongela, Amos Makalla na Lengai Ole Sabaya.

Majina matatu yatawala kiti cha Mwenezi wa CCM

02 Apr 2024
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Pyramids FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Misri, Fiston Mayele.

Mayele : Ninaweza kujiunga Simba SC

06 Apr 2024
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kuwaapisha viongozi aliowateua, Ikulu jijini Dar es Salaam jana.

Samia aanika msimamo wake

14 Mar 2024

Habari zinazohusiana

MKUU wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Bethsaida ya watoto  Yatima na waishio katika mazingira Magumu Erasto Emmanuel akizungumza wakati wa  Mahafali ya 17 ya Kidato cha Nne yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya shule hiyo Mpiji Magoe

Shule ya Bethsaida yaomba wafadhili kuisaidia

9h ago
Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi

Nyumbani ni nyumbani

12h ago
Mtungi ambao mfuniko umefyatuka na kusababisha kifo

Afariki dunia akigongwa na mfuniko mtungi kuzimia moto

13h ago
Wito watolewa kwa wanaotarajia kwenda Mecca

Wenye tezi dume, ngiri waambiwa waanze tiba kabla ya kwenda hijja

13h ago
ZEC yapokea karatasi za kura

ZEC yapokea karatasi za kura

13h ago
Othman aahidi  ajira bila upendeleo

Othman aahidi ajira bila upendeleo

15h ago
Watanzania watakiwa kutumia mkaa mbadala

Watanzania watakiwa kutumia mkaa mbadala

15h ago
Beno Malisa aonya wanaojipanga vurugu Oktoba 29

Beno Malisa aonya wanaojipanga vurugu Oktoba 29

17h ago
Viongozi wa dini Shinyanga wataka wananchi wajitokeze kupiga kura kwa amani

Viongozi wa dini Shinyanga wataka wananchi wajitokeze kupiga kura kwa amani

1d ago

Picha

Balozi wa taasisi ya WildAid, Nakaaya Sumari (kulia) akizungumza na waandishi wa habari na wadau wa uhifadhi wa mazingira katika ofisi za TBC 2 jana, kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Daphrosa Kimbori.
Kitaifa

Tuyatunze mazingira kwa faida ya sasa na baadae

25 Jun 2025
Bingwa wa Magonjwa ya Wanawake, Uzazi na Upasuaji wa Fistula katika Hospitali ya CCBRT Dk. Peter Majinge (kushoto), akikata keki pamoja na mmoja wa akinamama wanaoendelea na matibabu ya fistula hospitalini hapo, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho
Kitaifa

CCBRT yaadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza fistula

23 May 2025
Watembea kwa miguu wakivuka katika eneo lisilo rasmi, badala ya kutumia daraja la juu lililojengwa maalum kwaajili yao katika barabara ya Mandela, eneo la Buguruni,  jijini Dar es Salaam leo, kitendo ambacho ni hatari kwa usalama wao.
Kitaifa

Watembea kwa miguu wahatarisha maisha kwa kuvuka njia isiyo rasmi Buguruni

23 May 2025

Video


Kada mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ezekia Wenje.
Kitaifa

Wenje: Ukisalimiwa jibu ‘Oktoba Tunatiki’

4d ago
Samia: Hayati Magufuli alinilea vema.
Kitaifa

Samia: Hayati Magufuli alinilea vema

13 Oct 2025
Wenje atimkia CCM, aipiga  vijembe CHADEMA
Kitaifa

Wenje atimkia CCM, aipiga vijembe CHADEMA

13 Oct 2025
Logo

About

About Us
Terms and Conditions
Advertise with Us
Contact Us

FOLLOWS US ON

Habari

  • Kimataifa
  • Kitaifa

Biashara

Michezo

  • Soka

Burudani

Makala

Safu

  • Muungwana Lazima Nilonge

Maoni

  • Maoni Ya Mhariri
  • Katuni

Siasa

  • Kitaifa
  • Kimataifa

Editions

  • The Guardian
  • Nipashe
  • Nipashe Jumapili

Our networking

  • ITV -
  • Radio One -
  • East Africa Television -
  • East Africa Radio -
  • CAPITAL TV -
  • CAPITAL RADIO

© 2025 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED